• Sat. Mar 25th, 2023

KOMBE LA DUNIA FIFA 2022: Uruguay waaga mashindano licha ya kukung’uta Ghana 2-0 katika Kundi H

By

Dec 3, 2022
[contact-form-7 id="3805" title="Contact form 1"]

Na MASHIRIKA JAPO Uruguay walitandika Ghana 2-0 katika pambano lao la mwisho la Kundi H kwenye fainali za Kombe la Dunia zinazoendelea nchini Qatar, mabingwa hao mara mbili wa dunia (1930, 1950), waliaga kipute cha mwaka huu katika hatua ya makundi. Waliambulia nafasi ya tatu kundini kwa alama nne sawa na Korea Kusini waliowapiku kwa […]

ALSO READ  Shikobe, Faith joins Sethu FC in India

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *

[contact-form-7 id="3805" title="Contact form 1"]
Text Us
Generated by Feedzy