• Sat. Mar 25th, 2023

Wauzaji muguka washtaki kaunti

By

Dec 2, 2022
[contact-form-7 id="3805" title="Contact form 1"]

NA PHILIP MUYANGA SERIKALI ya Kaunti ya Mombasa na bunge la kaunti hiyo, zimeshtakiwa na wafanyabiashara wa muguka kwa pendekezo la kuongeza ada ya leseni za biashara hiyo kwa asilimia 100. Wafanyabiashara hao wanadai kuwa serikali hiyo inaendelea na mchakato wa kupitisha mapendekezo yao kwenye bajeti ya 2022/2023 bila kufuata sheria. Kulingana nao, serikali hiyo […]

ALSO READ  Afisa wa KDF akiri kupokea hongo ya Sh2.4 milioni kusaidia watu sita kujiunga na idara ya polisi

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *

[contact-form-7 id="3805" title="Contact form 1"]
Text Us
Generated by Feedzy